Colloquial Swahili: The Complete Course for Beginners by Donovan McGrath & Lutz Marten

Colloquial Swahili: The Complete Course for Beginners by Donovan McGrath & Lutz Marten

Author:Donovan McGrath & Lutz Marten
Language: eng
Format: mobi
Tags: Language & Literature
Published: 0101-01-01T00:00:00+00:00


10 Sherehe ya

arusi

A wedding celebration

In this unit you will learn:

• how to extend an invitation

• to provide additional information about people or things using the tensed relative ‘who’, ‘which’

• to emphasize the most important aspects of what you are saying by using the emphatic copula ndi-

• the amba- relative

• the general relative

Dialogue 1

Rosa (Mamantilie) and Hawa are talking about a wedding celebration

1 Why was Rosa asked to attend the wedding?

2 Why was Hawa invited to the wedding?

3 Where will the wedding take place?

BI. ROSA:

Wikiendi hii nitakwenda kwenye sherehe ya arusi.

Niliombwa na wazee wa biarusi kuwasaidia mata-

yarisho ya chakula. Kwa kweli ndiye baba yake biarusi aliyeniomba kuhudhuria kwenye sherehe hiyo ya arusi.

BI. HAWA: Mimi pia nitahudhuria kwenye sherehe ya arusi wikiendi hii. Nilialikwa pamoja na kikundi changu cha wanamuziki, kuimba nyimbo kwenye sherehe hiyo.

Ndiye biarusi mwenyewe aliyenialika.

BI. ROSA:

Jamani! Labda sisi sote tunakwenda kwenye sherehe hiyohiyo.

BI. HAWA: Sherehe hiyo ya arusi nitakayoihudhuria itakuwapo Sinza.



Download



Copyright Disclaimer:
This site does not store any files on its server. We only index and link to content provided by other sites. Please contact the content providers to delete copyright contents if any and email us, we'll remove relevant links or contents immediately.